Ifike wakati umfuate mtu si kwasababu unapata mshahara, posho, upendeleo, kutajwa, unapewa jukwaa n.k
Ufike wakati umfuate kiongozi kwasababu anakujengea uwezo kuwa JITU... kuua maelfu!
Unakumbuka kwenye pango la Adulamu? Umesoma ile orodha ya sifa ya waliomfuata Daudi pangoni?
1. Hali ya dhiki
2. Madeni
3. Uchungu wa moyo
(1 Sam 22:2)
Kwa Kiswahili ambacho si cha kibiblia - wamechoka, wamechakaa, hawana mbele wala nyuma!
Walimfuata ili awe Jemedari wao!
Kuna kitu watu huwa wanasahau hapa...
Mtu mwingine ambaye alikuwa amechoka na kupigika ni DAUDI MWENYEWE... walimfuata pangoni na si IKULU.
Just imagine, unamfuata kiongozi hana hata nyumba? Hai-make sense... hata ukimuambia mkeo atakuona zuzu kweli.
Daudi mwenyewe maisha yake ni kama mbwa - yuko kwenye mwendo muda wote. Anawindwa na Mfalme Sauli ili auwawe!
Lakini walimfuata. Walimwamini kuwa jemedari. Waliyamimina maisha yao kwake.
Ni hivi:
Kule pangoni Daudi hakuwa anagawa chakula. Wala hakuwa anagawa nyumba na hakuwa anagawa vitu.
Ila kuna namna ukiishi na JEMEDARI (if you rub shoulders with a general) aliyewahi kuua simba, kuua dubu na kuua Goliati anakusababisha ujipate na uwe!
HAYA NDIO MAJINA YA MASHUJAA ALIOKUWA NAO DAUDI... (2 Sam 23:8)
(Ni jumla ya majina ya wanaume 37)
Utagundua, Daudi aliua Goliati mmoja lakini mashujaa wake waliua "magoliati" ya kila rangi!
Just in case:
Naitwa James Kalekwa; mimi ni mfuasi wa Pastor Goodluck Present Kyara.
Asante 🙏🏿
1. Hali ya dhiki
2. Madeni
3. Uchungu wa moyo
(1 Sam 22:2)
Kwa Kiswahili ambacho si cha kibiblia - wamechoka, wamechakaa, hawana mbele wala nyuma!
Walimfuata ili awe Jemedari wao!
Kuna kitu watu huwa wanasahau hapa...
Mtu mwingine ambaye alikuwa amechoka na kupigika ni DAUDI MWENYEWE... walimfuata pangoni na si IKULU.
Just imagine, unamfuata kiongozi hana hata nyumba? Hai-make sense... hata ukimuambia mkeo atakuona zuzu kweli.
Daudi mwenyewe maisha yake ni kama mbwa - yuko kwenye mwendo muda wote. Anawindwa na Mfalme Sauli ili auwawe!
Lakini walimfuata. Walimwamini kuwa jemedari. Waliyamimina maisha yao kwake.
Ni hivi:
Kule pangoni Daudi hakuwa anagawa chakula. Wala hakuwa anagawa nyumba na hakuwa anagawa vitu.
Ila kuna namna ukiishi na JEMEDARI (if you rub shoulders with a general) aliyewahi kuua simba, kuua dubu na kuua Goliati anakusababisha ujipate na uwe!
HAYA NDIO MAJINA YA MASHUJAA ALIOKUWA NAO DAUDI... (2 Sam 23:8)
(Ni jumla ya majina ya wanaume 37)
Utagundua, Daudi aliua Goliati mmoja lakini mashujaa wake waliua "magoliati" ya kila rangi!
Just in case:
Naitwa James Kalekwa; mimi ni mfuasi wa Pastor Goodluck Present Kyara.
Asante 🙏🏿
0 Comments: