Saturday, March 12, 2016

UNAPO MKATAA MTUMISHI WA MUNGU UNAMKATAA MUNGU

Posted by Savior Ministry at 9:46 PM 0 Comments


1 Samwel 8:7
“BWANA akamwambia  Samwel, Isikilize sauti ya watu hawa katika kila nenowatakalokuambia; kwa maana awakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi, ili nisiwe mfame juu yao”.

BWANA YESU Asifiwe, katika mistari ya hapo kabla ya mlango wa nane wa kitabu cha Samweli ukiangalia taona wana wa Israeli walikuwa hawaonngozwi na Mfalme bali waamuzi na watumishi wa MUNGU (Manabii nk)ila ilifika kipindi wana wa Israeli wanamuomba MUNGU awape mfalme.

Mungu wakati ule alitamani yeye pekee ndiye awe mfalme wao, awaongoze wana wa Israel kama mfalme wao. Lakini sababu wanawa Israel waliona mataifa yote yanayowazunguka wana mfalme nao wakataka kuiga , ila haikuwa kusudi na mpango wa Mugu wao waongozwe na mfalme.

Mungu hakupanga wao waongozwe na mfalme, alitaka yeye ndiye awe falme wao. Halleluya!!!
Ila walikataa Samweli hakupendezwa pia na jambo hilo ila soma tena maneno ya MUNGU aliye mjibu Samweli mstari wa saba(7).  Ni maneno ya kusikitisha na kuumiza sana MUNGU anasema Israel amemkataa yeye, hawa kumkataa Mtumishi  wake Samweli bali walimkataa MUNGU mwenyewe.

It’s painful, REJECTION hurts.

Sasa mpendwa jiulize mara ngapi MUNGU ameumiaakisema Fulani hukumkataa mtumishi wangu umenikataa mimi…

Umeonywa, umeambiwa acha hichisio kizuri, maandiko yamekataa umeishia kuwa chukia na kuwanunia watu wa MUNGU. Na kukubusha Mpendwa unamkataa MUNGU na NENO lake na siyo huy aliyekuonya.

Eti sababu kila mtu anafanya dhambi hata mchungaji wangu kwanini na mimi nisifanye,
Eti sababu watu wote hata wakristo wanazini, wanatoa mimba pamoja na kwamba ni kinyume na NENO la MUNGU.

Jua UMEMKATAA MUNGU, ebu kumbuka ulipanguka UKATUBU.
Mungu ni warehema, amejaa NEEMA SI MWEPESI wa HASIRA bali ni mwingi wa REHEMA.
Kama UMEOKOKA na Ukarudi nyuma tubu kabla hujachelewa na uishi sawasawa na NENO la MUNGU.

Mathayo 3:2, 8, 10
 Kama HAUJAOKOKA Mpe YESU maisha yako LEO. Kumbuka saa ya WOKOVU ni SASA na wakati ULIOKUBALIKA ndio huu. 2 Wakoritho 6:2

Wasiliana Nami kwa Maombi na Ushauri
Ladies Co-ordinator
0767 – 276517















Share This Post

Get Updates

Subscribe to our Mailing List. We'll never share your Email address.

0 Comments:

The Savior Ministry Live Chat

© 2016 Savior Ministry.
Powered by Themes24x7 .
back to top