Wednesday, June 12, 2013

RASIMU YA KATIBA, MCHUNGAJI MTIKILA KUFUNGUA KESI

Posted by Savior Ministry at 6:39 AM 0 Comments
Mtikila

Akinukuliwa na vyombo mbali mbali vya habari, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye pia ni kingozi wa chama cha upinzani Democratic Party amesema kwenda mahakama ya kimataifa kufungua kesi kuhusu rasimu ya katiba kutoitambua Tanganyika. Mpendwa, Je umeipitia Rasimu ya Katiba mpya, Je una maoni gani? Ikiwa bado hujaisoma tafadhali isome

Toleo la Rasimu ya Katiba limechapishwa kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa kifungu cha 18(5) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, kwa madhumuni ya kuwepo kwa wananchi kusoma na kutoa maoni zaidi kwa Tume kuhusu maudhui yaliyomo kwenye Rasimu ya Katiba.

Dar es Salaam, JOSEPH S. WARIOBA,
3 Juni, 2013 Mwenyekiti wa Tume

Tags:

Share This Post

Get Updates

Subscribe to our Mailing List. We'll never share your Email address.

0 Comments:

The Savior Ministry Live Chat

© 2016 Savior Ministry.
Powered by Themes24x7 .
back to top